{"id":6267,"date":"2021-01-24T09:00:00","date_gmt":"2021-01-24T06:00:00","guid":{"rendered":"https:\/\/dpc.or.tz\/?post_type=ctc_sermon&#038;p=6267"},"modified":"2021-03-04T09:48:41","modified_gmt":"2021-03-04T06:48:41","slug":"mshukuru-mungu-kwa-imani-kwa-ajili-ya-upendo-wake","status":"publish","type":"ctc_sermon","link":"https:\/\/dpc.or.tz\/?ctc_sermon=mshukuru-mungu-kwa-imani-kwa-ajili-ya-upendo-wake","title":{"rendered":"MSHUKURU MUNGU KWA IMANI KWA AJILI YA UPENDO WAKE"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\"><\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Marko 11:24.<br>24 Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">JINSI YA KIMSHUKURU MUNGU KWA IMANI<\/p>\n\n\n\n<ol class=\"wp-block-list\"><li><strong>MSHUKURU KWA IMANI KWA JINSI ALIVYO<\/strong><\/li><\/ol>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Zaburi 103:1-5<br>1 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana. Naam, vyote vilivyo ndani yangu Vilihimidi jina lake takatifu.<br>2 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana, Wala usizisahau fadhili zake zote.<br>3 Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote,<br>4 Aukomboa uhai wako na kaburi, Akutia taji ya fadhili na rehema,<br>5 Aushibisha mema uzee wako, Ujana wako ukarejezwa kama tai;<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">DAUDI ANAONGEA NA NAFSI YAKE KUMSIFU MUNGU JINSI ALIVYO <br>KATIKA KILA JAMBO MSHUKURU MUNGU.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">1Wathesolonike 5:18<br>18 shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Matendo ya Mitume 16:16-40<br>16 Ikawa tulipokuwa tukienda mahali pale pa kusali, kijakazi mmoja aliyekuwa na pepo wa uaguzi akatukuta, aliyewapatia bwana zake faida nyingi kwa kuagua.<br>17 Akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele, akisema, Watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu, wenye kuwahubiria njia ya wokovu.<br>18 Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.<br>19 Basi bwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limewapotea, wakawakamata Paulo na Sila, wakawakokota mpaka sokoni mbele ya wakuu wa mji;<br>20 wakawachukua kwa makadhi, wakasema, Watu hawa wanachafua sana mji wetu, nao ni Wayahudi;<br>21 tena wanatangaza habari ya desturi zisizokuwa halali kwetu kuzipokea wala kuzifuata, kwa kuwa sisi tu Warumi.<br>22 Makutano wote wakaondoka wakawaendea, makadhi wakawavua nguo zao kwa nguvu, wakatoa amri wapigwe kwa bakora.<br>23 Na walipokwisha kuwapiga mapigo mengi, wakawatupa gerezani, wakamwamuru mlinzi wa gereza awalinde sana.<br>24 Naye akiisha kupata amri hii akawatupa katika chumba cha ndani, akawafunga miguu kwa mkatale.<br>25 Lakini panapo usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.<br>26 Ghafula pakawa tetemeko kuu la nchi, hata misingi ya gereza ikatikisika, na mara hiyo milango ikafunguka, vifungo vya wote vikalegezwa.<br>27 Yule mlinzi wa gereza akaamka, naye alipoona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, alifuta upanga, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia.<br>28 Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tupo hapa.<br>29 Akataka taa ziletwe, akarukia ndani, akitetemeka kwa hofu, akawaangukia Paulo na Sila;<br>30 kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?<br>31 Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.<br>32 Wakamwambia neno la Bwana, yeye na watu wote waliomo nyumbani mwake.<br>33 Akawakaribisha saa ile ile ya usiku, akawaosha mapigo yao, kisha akabatizwa, yeye na watu wake wote wakati uo huo.<br>34 Akawaleta juu nyumbani kwake, akawaandalia chakula, akafurahi sana, yeye na nyumba yake yote, maana amekwisha kumwamini Mungu.<br>35 Kulipopambauka makadhi wakawatuma wakubwa wa askari wakisema, Waacheni watu wale waende zao.<br>36 Yule mlinzi wa gereza akamwarifu Paulo maneno haya akisema, Makadhi wametuma watu ili mfunguliwe; basi, sasa tokeni nje, enendeni zenu kwa amani.<br>37 Paulo akawaambia, Wametupiga mbele ya watu wote bila kutuhukumu, na sisi tu Warumi, tena wametutupa gerezani; na sasa wanataka kututoa kwa siri? Sivyo, lakini na waje wenyewe wakatutoe.<br>38 Wakubwa wa askari wakawapasha makadhi habari za maneno haya; nao wakaogopa, waliposikia ya kwamba hao ni Warumi.<br>39 Wakaja wakawasihi; na walipokwisha kuwatoa nje, wakawaomba watoke katika mji ule.<br>40 Nao wakatoka gerezani wakaingia nyumbani mwa Lidia; na walipokwisha kuonana na ndugu wakawafariji, wakaenda zao.<\/p>\n\n\n\n<ol class=\"wp-block-list\" start=\"2\"><li><strong>MSHUKURU MUNGU KWA AJILI YA UAMINIFU WAKE<\/strong><\/li><\/ol>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">2 Nyakati 20:18-22<br>18 Yehoshafati akainama kichwa, kifulifuli; wakaanguka mbele za Bwana Yuda wote na wakaao Yerusalemu, wakimsujudia Bwana.<br>19 Na Walawi, wa wana wa Wakohathi na wa wana wa Wakorahi, wakasimama ili wamsifu Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sauti kuu sana.<br>20 Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini Bwana, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa.<br>21 Naye alipokwisha kufanya shauri na watu, akawaweka wale watakaomwimbia Bwana, na kumsifu katika uzuri wa utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na kusema, Mshukuruni Bwana; kwa maana fadhili zake ni za milele.<br>22 Nao walipoanza kuimba na kusifu, Bwana akaweka waviziao juu ya wana wa Amoni, na Moabu, na wa mlima Seiri, waliokuja juu ya Yuda; nao wakapigwa.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Luke 17:11-17<br>11 Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemu, alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya.<br>12 Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasimama mbali,<br>13 wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!<br>14 Alipowaona aliwaambia, Enendeni, mkajionyeshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.<br>15 Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu;<br>16 akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.<br>17 Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale kenda wa wapi?<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Marko 11:24.24 Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu. JINSI YA KIMSHUKURU MUNGU KWA IMANI MSHUKURU KWA IMANI KWA JINSI ALIVYO Zaburi&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":6268,"comment_status":"open","ping_status":"closed","template":"","meta":{"jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"ctc_sermon_topic":[],"ctc_sermon_book":[],"ctc_sermon_series":[],"ctc_sermon_speaker":[282],"ctc_sermon_tag":[],"class_list":["post-6267","ctc_sermon","type-ctc_sermon","status-publish","has-post-thumbnail","hentry","ctc_sermon_speaker-rev-safari-paul"],"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/6267","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon"}],"about":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/ctc_sermon"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=6267"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/6267\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":6269,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/6267\/revisions\/6269"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/6268"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=6267"}],"wp:term":[{"taxonomy":"ctc_sermon_topic","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_topic&post=6267"},{"taxonomy":"ctc_sermon_book","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_book&post=6267"},{"taxonomy":"ctc_sermon_series","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_series&post=6267"},{"taxonomy":"ctc_sermon_speaker","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_speaker&post=6267"},{"taxonomy":"ctc_sermon_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_tag&post=6267"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}