{"id":7010,"date":"2021-07-04T09:00:00","date_gmt":"2021-07-04T06:00:00","guid":{"rendered":"https:\/\/dpc.or.tz\/?post_type=ctc_sermon&#038;p=7010"},"modified":"2022-02-11T15:50:56","modified_gmt":"2022-02-11T12:50:56","slug":"mwanaume-kuwa-mfano-bora","status":"publish","type":"ctc_sermon","link":"https:\/\/dpc.or.tz\/?ctc_sermon=mwanaume-kuwa-mfano-bora","title":{"rendered":"MWANAUME KUWA MFANO BORA"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">MWANAUME<br>Baba, Kaka, Babu, Mjomba, Baba mdogo<\/p>\n\n\n\n<ol class=\"wp-block-list\" start=\"2\"><li>Mwanaume anafanana zaidi na mwanamke kuliko walivyo tofauti<\/li><\/ol>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mwanaume anapaswa kundi katika nafasi yake ili mambo yaende sawa<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Kwa sababu ya umuhimu amekuwa akipambana na vita vyingi<\/p>\n\n\n\n<ol class=\"wp-block-list\"><li>Wanaume wa kiyahudi kule misri<br>Kutoka 1:22<\/li><li>Samsoni &#8211; Delilor<br>Waamuzi 13:14<\/li><li>Yesu<br>Isaya 9:6<br>Watoto wa kiume wa kafa<\/li><\/ol>\n\n\n\n<ul class=\"wp-block-list\"><li>Huvyo ni muhimu kwa mwanaume kufanikiwa,<br>kusimama katika nafasi yake<\/li><\/ul>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\"><strong>ADAMU<\/strong><br>Mwanzo 2:18-25, 3:1<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mtu wa kwanza\/Mwanaume<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Baba wa kwanza<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mume wa kwanza<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Hakuwa Binadamu mwingine wa kwanza alikuwa na maagizo ya Mungu<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mkunja wa kwanza<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Hakuwahi kuwa mtoto<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Ukiwa katika mazingira mapya Mungu ni kimbilio\/msaada<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mungu kwetu sisi ni kimbilio na mfano msaada uonekano tele wakati wa mateso<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Atinisikiliza badala ya maagizo ya Mungu<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Alikuwa mbali na mke wake<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Kauli karibu na mkle ni ulinzi<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Ni rahisi kumshinda mtu mmoja ni vigumu kumshinda mtu mmoja ni vigumu kuwashinda watu 2<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Tuwe karibu na wake zetu<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">YUSUFU<br>MATHAYO 1:19<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mume wa Mariamu<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mungu alimuamini kuwa Baba mlezi wa Yesu<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mtu wa kwanza wa pekee kuwa na mke alikuwa na mimba ya Roho Mtakatifu<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Alikuwea na nidhamu ya kutosha kutomgusa Mariamu hadi Yesu alizaliwa<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Alikuwa ni muhimu kwa malezi ya Yesu katika utoto wake<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">MASOMO<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">KUSIKILIZA SAUTI YA MUNGU<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">NIDHAMU<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">HAKI<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">AYUBU<br>AYUBU 1:1<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mkamilifu<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mwelekevu<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Alitoa sadaka kwa ajili ya watoto wake<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Ana sifa ya kipekee kuliko wengi katika Biblia<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">LESSONS<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">MHESHIMU MUNGU<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">EPUKA UOVU<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">HITIMISHO<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">1 WAKORINTHO 10:6,11<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">1 WAKORINTHO 16:13<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Kuwa mwanaume fanya kiume<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mambo haya yameandikwa kwa mifano kwetu ili tujifunze tusikwae katika shida zile zile za watu wa kale<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">KUTOKA 1:22<br>22 Kisha huyo Farao akawaagiza watu wake, akisema, Kila mtoto mwanamume atakayezaliwa mtamtupa mtoni, na kila mtoto mwanamke mtamhifadhi hai.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">ISAYA 9:6<br>6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">MWANZO 2:18-25<br>18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">20 Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">21 Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.<br>25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">MATHAYO 1:19<br>19 Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">AYUBU 1:1<br>1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">1 WAKORINTHO 10:6,11<br>6 Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">11 Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">1 WAKORINTHO 16:13<br>13 Kesheni, simameni imara katika Imani, fanyeni kiume, mkawe hodari.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">1Wakoritho 13:4<br>4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">8 Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>MWANAUMEBaba, Kaka, Babu, Mjomba, Baba mdogo Mwanaume anafanana zaidi na mwanamke kuliko walivyo tofauti Mwanaume anapaswa kundi katika nafasi yake ili mambo yaende sawa Kwa sababu ya umuhimu amekuwa akipambana&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":7012,"comment_status":"open","ping_status":"closed","template":"","meta":{"pagelayer_contact_templates":[],"_pagelayer_content":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":false,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"ctc_sermon_topic":[],"ctc_sermon_book":[],"ctc_sermon_series":[],"ctc_sermon_speaker":[324],"ctc_sermon_tag":[],"class_list":["post-7010","ctc_sermon","type-ctc_sermon","status-publish","has-post-thumbnail","hentry","ctc_sermon_speaker-christopher-vuhahula"],"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/7010","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon"}],"about":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/ctc_sermon"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=7010"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/7010\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":7013,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/7010\/revisions\/7013"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/7012"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=7010"}],"wp:term":[{"taxonomy":"ctc_sermon_topic","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_topic&post=7010"},{"taxonomy":"ctc_sermon_book","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_book&post=7010"},{"taxonomy":"ctc_sermon_series","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_series&post=7010"},{"taxonomy":"ctc_sermon_speaker","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_speaker&post=7010"},{"taxonomy":"ctc_sermon_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_tag&post=7010"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}