{"id":7628,"date":"2022-03-06T10:30:00","date_gmt":"2022-03-06T07:30:00","guid":{"rendered":"https:\/\/dpc.or.tz\/?post_type=ctc_sermon&#038;p=7628"},"modified":"2023-01-07T16:56:28","modified_gmt":"2023-01-07T13:56:28","slug":"mungu-habadiriki","status":"publish","type":"ctc_sermon","link":"https:\/\/dpc.or.tz\/?ctc_sermon=mungu-habadiriki","title":{"rendered":"MUNGU HABADIRIKI"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">TITLE: MUNGU HABADIRIKI<br>TEXT:1 WAFALME 20:23-28<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">SOMO LA 1<br>UWE MAKINI NA WAWAZO YA WATU [1 WAFALME 20:23-28<br>23 Basi watumwa wake mfalme wa Shamu wakamwambia, Mungu wao ni mungu wa milima; ndiyo sababu ya kutushinda sisi; lakini na tupigane nao katika nchi tambarare, na hakika tutawashinda wao.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">24 Ufanye neno hili; uwaondoe hao wafalme, kila mtu atoke mahali pake, ukaweke majemadari mahali pao.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">25 Kisha ujihesabie jeshi, ka ma jeshi lililokupotea, farasi kwa farasi na gari kwa gari; nasi tutapigana nao katika nchi tambarare, na bila shaka tutawashinda. Akaisikiliza sauti yao, akafanya kama hivyo.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">26 Basi ikawa mwakani, Ben-hadadi akawahesabu Washami, akakwea mpaka Afeki ili apigane na Israeli.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">27 Wana wa Israeli nao wakahesabiwa, wakapewa vyakula, wakaenda kupigana nao; wakatua wana wa Israeli mbele yao kama vikundi viwili vya wana-mbuzi; bali Washami wakaijaza nchi.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">28 Akaja yule mtu wa Mungu, akamwambia mfalme wa Israeli, akasema, Bwana asema hivi, Kwa sababu Washami wamesema, Bwana ni Mungu wa milima wala si Mungu wa nchi tambarare; basi nitawatia makutano haya yote walio wengi mkononi mwako, nanyi mtajua ya kuwa ndimi Bwana.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">SOMO LA 2<br>HAKUNA KINACHOWEZA KUBADIRISHA UUNGU WA MUNGU<br>[ISAYA 43:1-2] 1 Lakini sasa, Bwana aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">2 Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">SOMO LA 3<br>MUNGU NI WA KUTEGEMEWA<br>[1 WAFALME 20:28] Akaja yule mtu wa Mungu, akamwambia mfalme wa Israeli, akasema, Bwana asema hivi, Kwa sababu Washami wamesema, Bwana ni Mungu wa milima wala si Mungu wa nchi tambarare; basi nitawatia makutano haya yote walio wengi mkononi mwako, nanyi mtajua ya kuwa ndimi Bwana.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">1 WAFALME 20:23-28<br><\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\"><br><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>TITLE: MUNGU HABADIRIKITEXT:1 WAFALME 20:23-28 SOMO LA 1UWE MAKINI NA WAWAZO YA WATU [1 WAFALME 20:23-2823 Basi watumwa wake mfalme wa Shamu wakamwambia, Mungu wao ni mungu wa milima; ndiyo&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":5689,"comment_status":"open","ping_status":"closed","template":"","meta":{"jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":false,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"ctc_sermon_topic":[],"ctc_sermon_book":[],"ctc_sermon_series":[],"ctc_sermon_speaker":[270],"ctc_sermon_tag":[],"class_list":["post-7628","ctc_sermon","type-ctc_sermon","status-publish","has-post-thumbnail","hentry","ctc_sermon_speaker-abel-majaliwa"],"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/7628","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon"}],"about":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/ctc_sermon"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=7628"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/7628\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":7629,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/7628\/revisions\/7629"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/5689"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=7628"}],"wp:term":[{"taxonomy":"ctc_sermon_topic","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_topic&post=7628"},{"taxonomy":"ctc_sermon_book","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_book&post=7628"},{"taxonomy":"ctc_sermon_series","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_series&post=7628"},{"taxonomy":"ctc_sermon_speaker","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_speaker&post=7628"},{"taxonomy":"ctc_sermon_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_tag&post=7628"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}