{"id":8086,"date":"2023-12-10T12:30:00","date_gmt":"2023-12-10T09:30:00","guid":{"rendered":"https:\/\/dpc.or.tz\/?post_type=ctc_sermon&#038;p=8086"},"modified":"2023-12-18T19:23:28","modified_gmt":"2023-12-18T16:23:28","slug":"makao-ya-mungu-yako-pamoja-na-wanadamu","status":"publish","type":"ctc_sermon","link":"https:\/\/dpc.or.tz\/?ctc_sermon=makao-ya-mungu-yako-pamoja-na-wanadamu","title":{"rendered":"MAKAO YA MUNGU YAKO\u00a0PAMOJA NA WANADAMU"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">MAKAO YA MUNGU YAKO\u00a0PAMOJA NA WANADAMU<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">\u00a0 UFUNUO WA YOHANA 21:1-8 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hakuna bahari tena.\u00a02 Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.\u00a03\u00a0Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.\u00a0\u00a0<br>4\u00a0Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.\u00a05\u00a0Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli.\u00a0<br>6\u00a0Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye aliye na kiu, maji kutoka chemchemi ya maji ya uzima, bure.\u00a07\u00a0Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.\u00a08\u00a0Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">\u00a0 YOHANA 14:1-6 Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.\u00a02 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.\u00a03\u00a0Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.\u00a04 Nami niendako mwaijua njia.\u00a05Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi tunaijuaje njia?\u00a06\u00a0Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\"><strong>\u00a0 Somo la 1. Mungu amepanga kuwa na makao pamoja na wanadamu<\/strong><\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">&nbsp; [Yohana 14: 1-5<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">&nbsp; Ufunuo wa Yohana 21:3-4]<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\"><strong>\u00a0 Somo la 2. Yesu ndiye Njia Pekee kwa Baba<\/strong><\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">&nbsp; [Yohana 14:5-6<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">&nbsp; Ufunuo wa Yohana 21: 7-8]<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>MAKAO YA MUNGU YAKO\u00a0PAMOJA NA WANADAMU \u00a0 UFUNUO WA YOHANA 21:1-8 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala&#8230;<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":8082,"comment_status":"open","ping_status":"closed","template":"","meta":{"jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":false,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"ctc_sermon_topic":[],"ctc_sermon_book":[],"ctc_sermon_series":[],"ctc_sermon_speaker":[270],"ctc_sermon_tag":[],"class_list":["post-8086","ctc_sermon","type-ctc_sermon","status-publish","has-post-thumbnail","hentry","ctc_sermon_speaker-abel-majaliwa"],"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/8086","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon"}],"about":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/ctc_sermon"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=8086"}],"version-history":[{"count":2,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/8086\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":8088,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/ctc_sermon\/8086\/revisions\/8088"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/8082"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=8086"}],"wp:term":[{"taxonomy":"ctc_sermon_topic","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_topic&post=8086"},{"taxonomy":"ctc_sermon_book","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_book&post=8086"},{"taxonomy":"ctc_sermon_series","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_series&post=8086"},{"taxonomy":"ctc_sermon_speaker","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_speaker&post=8086"},{"taxonomy":"ctc_sermon_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/dpc.or.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fctc_sermon_tag&post=8086"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}