MUNGU Atawajazeni kila mnachohitaji. Mithali 3:5-6
Wafilipi 4:19 Mahitaji yetu yanaweza kuwa, Kimwili, Kijamii, kiroho. Mandiko yanasema Mungu atatupa mahitaji yote
1. MUNGU ni tajiri anamiliki vitu vyote. Wafilipi 4:19, Zaburi 24:1, Kumb’ torati 10:14; 8:18.
2. MUNGU Anaweza kufanya mambo ya ajabu kuliko tuombayo. Waefeso 3:20-21, Zaburi 33:4,6, Waebrania 11:3
3. MUNGU Anajishugulisha sana na mambo yako. 1 Petro 5:6-7, Mathayo 6:31-34






