MPENDE JIRANI YAKO

MPENDE JIRANI YAKO. Andiko – Luka 10:25-37

Utangulizi •⁠ ⁠Kupenda jirani yako ni sharti kwa yule anayetaka kurithi uzima wa milele.

Masomo

1.⁠ ⁠Kumpenda Jirani ni amri ya Mungu.
Luka 10:25-37; Mathayo 22:36-40; 1 Yohana 4:20
Mpende jirani yako, chukia mabaya yake

  1. Jirani Ameumbwa kwa mfano wa Mungu.
    Mwanzo 1:27; Zaburi 139:13-14
    Ameumbwa kwa namna ya ajabu na ya kutisha.

3.⁠ ⁠Jirani yako ni mwangalizi mwenza wa uumbaji wa Mungu. Mwanzo 1:27-28, Zab 8:3-9, Matendo 17:26

4.⁠ ⁠Mungu anampenda jirani yako.
Yohana 3:16; Warumi 5:8; Waefeso 2:1-10
Sote ni walengwa wa upendo wa Mungu.

Mwisho
•⁠ ⁠Mathayo 22:36-40
•⁠ ⁠Zaburi 133:1-3

×Note: To download, click the button. If it doesn't work, right click, then click "Save Link As." Download only works if media is stored within this site. Download Video

Join the Discussion

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top