Mtumaini na Kumwabudu Mungu Peke Yake
Maandiko: Dan. 6:1–28
Utangulizi. Daniel alimtumaini na kumwabudu Mungu kinyume na sheria ya Wamedi na Waajemi.
Masomo
I. Kumtumaini Mungu hudhihirishwa na Ibada yetu hata kama inahatarisha maisha yetu. Dan. 6:10–11
II. Mungu atawaokoa wale wanaomtumaini. Dan. 6:19–28, – Zab. 23:4
III. Uwe tayari kumpinga mpinga Kristo – Mtawala wa Dunia atakayedai kuabudiwa. Ufunuo 13:1-18, 1 Yoh. 2:18, 22




