FAHAMU KUHUSU VITA VYA KIROHO

FAHAMU KUHUSU VITA VYA KIROHO. Ufunuo 12:7-12

1.⁠ ⁠Shetani ni adui yako siku zote. Ufunuo 12:7-12 Anaongoza ulimwengu wote kupotea Ufunuo 12:7-12 Ole kwa dunia ufunuo 12:12 Anatafuta mtu wa kummeza 1 PETRO 5:8
Yeye ndiye baba wa uongo YOHANA 8:44YOHANA 8:44

2.⁠ ⁠⁠⁠Ushindi wako Unapatikana katika Kristo. Ufunuo 12:11) Asili ya vita na silaha. 2 Wakorintho 10:3-5 Hakuna silaha dhidi yangu itakayofanikiwa. Isaya 54:17 Sisi ni zaidi ya Washindi. Warumi 8:37-39

3.⁠ ⁠⁠Mpinge Shetani naye atakimbia. Yakobo 4:7-9, 2 Wakorintho 11:13-15
Usifungwe nira na wasio amini. 2 Wakorintho 6:14-18

Join the Discussion

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top