TUMEUMBWA KUMWABUDU MUNGU 

TUMEUMBWA KUMWABUDU MUNGU ISAYA 43:7 -Ikumbukwe kwamba wanadamu tumeumbwa ili tumwabudu Mungu– Tumpe Mungu Utukufu -Na, ikiwa Mungu hajaabudiwa, wanadamu wataabudu kitu kingine kama vile pesa, cheo, mtu viumbe vingine, miungu… -Hata hivyo, mioyo yao haitatoshelezwa hadi pale watakapo mwabudu Mungu wa kweli – Muumbaji • Tumeubwa Kumwabudu Mungu… -Ili kumwabudu Mungu kwa uborazaidi, inahitaji kufanya hivyokatika UJUMLA WOTE WA MTU –  WARUMI 12:1-2: (mwili, akili, nguvu, muda, ujuzi…)  -Kumwabudu Mungu katika ubora kunatubadilisha  na kutupa mahusiano zaidi ya karibu naMungu – MATHAYO 18:19-20 -Ndio maana Biblia inatuhimiza kumwabudu Mungu huku tukimpa sifa na utukufu peke yake -Kumwabudu Mungu kunaweza…

View Sermon

WHO ARE YOU?

Tittle:     WHO ARE YOU? Text:    JOB 1:1 -The question “who are you?” at times may not be an easy question to answer. -The question may require more information from a person beyond…

View Sermon

WEWE NI NANI?

•Ujumbe:   WEWE NI NANI? Andiko:  AYUBU 1:1 -Swali la “wewe ninani?” wakatimwingine sio swalijepesi kujibu. • Utambulisho wa Ayubu : 1. ISHI MAISHA YENYE MAADILI MEMA 2. UWE NA HOFU YA MUNGU NDANI YAKO • Conclusion

View Sermon
Back to top