MAOMBI YA KUFUNGA YA KATIKATI YA MWAKA. JUMATANO 19 JULAI 2023 

Maombi ya Mahitaji binafsi (Binafsi na Familia). 3 Yohana 1:2, Marko 11:24

1. ULINZI NA UPAJI WA MUNGU KATIKA FAMILIA ZETU. Wafilipi 4:6-7 

• Watu wa familia yako waweke imani yao kwa Mungu. Warumi 8:26, Waebrania 5:7 

• Upaji wa Mungu: Mathayo 6:25-27 Wafilipi 4:19, 

• Nguvu ya kusalimisha suala lako miguuni pa Mungu 

• Kupata Hekima na suluhisho la utatuzi kwa njia za vitendo Kupata hekima ya kuwa na namna zinazotekelezeka za kupata suluhisho. 

• Ulinzi: – Mungu anaweza kutulinda. Zaburi 61:3, Isaya 35:4, Isaya 41:10 

• Kuomba dhidi ya wasiwasi na woga.

2. MAFANIKIO KATIKA FAMILIA ZETU. 

o Mungu atujalie afya njema. 3 Yohana 1:2 

o Mungu abariki kazi ya mikono yetu. (Kumbukumbu la Torati 28:12). 

3. MAOMBI KWA AJILI YA NDOA ZETU. 

               Ombea walioko kwenye ndoa na ndoa zao.

• (Moyo na macho ya kumwona mtu mwingine kwa macho ya Mungu)

• Utayari wa kusamehe na kutafuta upatanisho (urejesho)

• Kumruhusu Mungu kuwaonyesha mahali anapotaka kuona mabadiliko ndani yao. Waefeso 4:2-3

• Kulindwa dhidi ya ushawishi mbaya ambao unasumbua ndoa kwenye eneo la uaminifu. Waebrania 13:4

• Subira kadri  Mungu anavyoikuza ndoa hadi pale anapotaka iwe. Mathayo 19:26

Maombi kwa wale walio katika Maandalizi ya Kuingia kwenye Ndoa.

o Hekima ya kufanya maamuzi yote muhimu ambayo yanawapeleka kwenye hatua yao inayofuata.

o Kunyenyekeana na pia kunyenyekea mbele za Mungu. Waefeso 4:2 

o Mtazamo wa kimungu juu ya ndoa na upendo wanaoshiriki. Mathayo 19:6

4. OMBEA NEEMA YA WOKOVU KATIKA FAMILIA YAKO. Waefeso 2:8-10.”

MAOMBI YA KUFUNGA YA KATIKATI YA MWAKA. JUMATANO 19 JULAI 2023 

Maombi ya Mahitaji binafsi (Binafsi na Familia). 3 Yohana 1:2, Marko 11:24

1. ULINZI NA UPAJI WA MUNGU KATIKA FAMILIA ZETU. Wafilipi 4:6-7 

• Watu wa familia yako waweke imani yao kwa Mungu. Warumi 8:26, Waebrania 5:7 

• Upaji wa Mungu: Mathayo 6:25-27 Wafilipi 4:19, 

• Nguvu ya kusalimisha suala lako miguuni pa Mungu 

• Kupata Hekima na suluhisho la utatuzi kwa njia za vitendo Kupata hekima ya kuwa na namna zinazotekelezeka za kupata suluhisho. 

• Ulinzi: – Mungu anaweza kutulinda. Zaburi 61:3, Isaya 35:4, Isaya 41:10 

• Kuomba dhidi ya wasiwasi na woga.

2. MAFANIKIO KATIKA FAMILIA ZETU. 

o Mungu atujalie afya njema. 3 Yohana 1:2 

o Mungu abariki kazi ya mikono yetu. (Kumbukumbu la Torati 28:12). 

3. MAOMBI KWA AJILI YA NDOA ZETU. 

Ombea walioko kwenye ndoa na ndoa zao.

• (Moyo na macho ya kumwona mtu mwingine kwa macho ya Mungu)

• Utayari wa kusamehe na kutafuta upatanisho (urejesho)

• Kumruhusu Mungu kuwaonyesha mahali anapotaka kuona mabadiliko ndani yao. Waefeso 4:2-3

• Kulindwa dhidi ya ushawishi mbaya ambao unasumbua ndoa kwenye eneo la uaminifu. Waebrania 13:4

• Subira kadri  Mungu anavyoikuza ndoa hadi pale anapotaka iwe. Mathayo 19:26

Maombi kwa wale walio katika Maandalizi ya Kuingia kwenye Ndoa.

o Hekima ya kufanya maamuzi yote muhimu ambayo yanawapeleka kwenye hatua yao inayofuata.

o Kunyenyekeana na pia kunyenyekea mbele za Mungu. Waefeso 4:2 

o Mtazamo wa kimungu juu ya ndoa na upendo wanaoshiriki. Mathayo 19:6

4. OMBEA NEEMA YA WOKOVU KATIKA FAMILIA YAKO. Waefeso 2:8-10.”

Join the Discussion

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top